Msaada wajameni-Hamu ya kutamani Mke wa Mtu....

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,217
Msaada wajameni Mwenzenu NIKIONA mr&Mrs wameongozana hapo hapo naanza kutamani Mrs wa mtu,
Yaani sasa hv nawatamani sana alafu nahisi kupigika.
Msaada wenu jaman
 
Mfuate Lady wa kwanza, baada ya hapo hautawaona tena hao maMr&Mrs wakipita!
 
tobaaaaaaaaaaaaaa
kijana hatari ipo mbele yako......
 
Endelea kutamani, safi sana. Mjini hapa utakuja kupata unachokitafuta tu. Wala usijali. Unless unawatamani kwa maana nyingine.
 
Hahahaa jamani dunia ina mambo!
 
nipen ushauri
Mbona jina lako na avatar yako inaonyesha wewe ni mwanamke, sasa unawapenda maMrs wa watu kwa ajili ya nini? Unapenda kusagana? Nenda kanisani kaombewe, hilo sasa ni pepo, si bure.
 
Msaada wajameni Mwenzenu NIKIONA mr&Mrs wameongozana hapo hapo naanza kutamani Mrs wa mtu,
Yaani sasa hv nawatamani sana alafu nahisi kupigika.
Msaada wenu jaman

kama wewe ni mwanamke afu unapenda wake za watu basi inabidi tukupeleke kwenye maombi...utakua una pepo la kiulesbian:blabla:
 
Zebedayo kwani lile ilani lako kule love connect la kutafuta kimwana halikufanikiwa....
 
Msaada wajameni Mwenzenu NIKIONA mr&Mrs wameongozana hapo hapo naanza kutamani Mrs wa mtu,
Yaani sasa hv nawatamani sana alafu nahisi kupigika.
Msaada wenu jaman

Kuna mtu anaitwa Kongosho .... Atakufaa kukutatulia hizo shida zako..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…