MWANA ileje
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 744
- 572
Aisee kwenye suala la kuongeza nguvu na mbegu za kiume suluhisho pekee ni mlo na mazoezi pekee, dawa za viwandani sikushauriiKwa anaefahamu wapi znapatikana dawa aina ya OLIGOCARE na ADDZOA Kwajili ya kuboresha wingi na ubora wa maniiHapa jijin Dar anifahamishe itakuwa vyema zaid endapo ntajua na bei zake
Muwe na mchana mwema
Mazoez yanaimarisha tu misuli ya uume ila ujazo na ubora wa sperms Mazoez haya contribute chochote hyo ni hormonal issue mkuuAisee kwenye suala la kuongeza nguvu na mbegu za kiume suluhisho pekee ni mlo na mazoezi pekee, dawa za viwandani sikushaurii
Mi ni mhanga mstaafu wa ilo tatizo,nalijua ipasavyo saivi nina mke na watoto, sperms dhaifu ni zile zisizo na mkia ambazo haziwezi kutunga mimba,NARUDIA KWA HERUFI KUBWA TIBA YA UHAKIKA NI LISHE NA MAZOEZIMazoez yanaimarisha tu misuli ya uume ila ujazo na ubora wa sperms Mazoez haya contribute chochote hyo ni hormonal issue mkuu
Ok thanks...je mazoez ya aina gan labda? Pia ulifanya kwa muda gan hayo mazoez? Ujue mazoez yakiwa too much nayo pia ni source ya tatizoMi ni mhanga mstaafu wa ilo tatizo,nalijua ipasavyo saivi nina mke na watoto, sperms dhaifu ni zile zisizo na mkia ambazo haziwezi kutunga mimba,NARUDIA KWA HERUFI KUBWA TIBA YA UHAKIKA NI LISHE NA MAZOEZI
Mi ni mhanga mstaafu wa ilo tatizo,nalijua ipasavyo saivi nina mke na watoto, sperms dhaifu ni zile zisizo na mkia ambazo haziwezi kutunga mimba,NARUDIA KWA HERUFI KUBWA TIBA YA UHAKIKA NI LISHE NA MAZOEZI
Mbona hutujibu maswali yetu chiefMi ni mhanga mstaafu wa ilo tatizo,nalijua ipasavyo saivi nina mke na watoto, sperms dhaifu ni zile zisizo na mkia ambazo haziwezi kutunga mimba,NARUDIA KWA HERUFI KUBWA TIBA YA UHAKIKA NI LISHE NA MAZOEZI