Mimi nina mama yangu mzazi nilimpeleka hospital wakamwambia anavidonda vya tumbo akaendelea na tiba sasa anasema anasikia harufu kali sana hata saa nyingine tumekaa naye anaziba pua anasema anasikia harufu mbaya kama watu wamechoma majani!! sasa mimi sijui hii inatokana na hivyo vidonda au ni ugonjwa mwingine??Msaada na ombeni.