Charles1990
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 251
- 48
Thanks mkuu avocado.Mkuu mimi nipo Klm,na huku kuna sehemu wanalima mpunga.Naweza kwenda hapo nikafanya hiyo survey,tabu kidogo nitapata katika kuuza.Ingekuwa afadhali kama ningepata mtu wa kununua kwa jumla nikiuleta hapo Dar.Pili sina hakika kama huu mchele wa klm (Mabogini) unapendwa na walaji.Usije ukaniharibikia mikononi.
Hii habari ya kukoboa ni nzuri pia,lakini mkuu hiyo mashine ya kukobolea inakamatika??au ni ya kukodi?
Thanks mkuu.
Sema una mpunga kiasi gani, bei yako ngapi; in short weka tangazo la biashara watu wanunue!!