mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
Professional yako?
1.TOURISM
2.AGRICULTURE
3.ENTERTAINMENT INDUSTRY
4.MUTUAL FUNDS INDUSTRY (unit trust of Tanzania(UTT),National investment company limited(NICOL),tanzania Chamber of commerce industry and Agriculture Investment Company(TCCA INV CO LTD).
5.HORTICULTURE INDUSTRY
wana JF ni matumaini yangu mko wazima na waliomahospitalini tuko pamoja nao ktk maombi ili wapone na kuendelea na majukum yao ya kila siku, wakuu bila kuwachosha mie naomba kusaidiwa kuhusu maeneo mbalimbali yanayofaa kuwekeza katika uchumi wa hii Tz yetu (kwa maana mradi/biashara) wenye kuleta mafanikio nina wakilisha nikitegemea kupata response nzuri kwenye jukwaa hili lenye watu wenye upeo wa ku-share mawazo waliyonayo na wengine.
Wakuu nawashilisha
wana JF ni matumaini yangu mko wazima na waliomahospitalini tuko pamoja nao ktk maombi ili wapone na kuendelea na majukum yao ya kila siku, wakuu bila kuwachosha mie naomba kusaidiwa kuhusu maeneo mbalimbali yanayofaa kuwekeza katika uchumi wa hii Tz yetu (kwa maana mradi/biashara) wenye kuleta mafanikio nina wakilisha nikitegemea kupata response nzuri kwenye jukwaa hili lenye watu wenye upeo wa ku-share mawazo waliyonayo na wengine.
Wakuu nawashilisha