Msaada wako unahitajika...

Asaidiwe kuachana na mzungu au mzungu kashamtema na amedata?ni vitu tofauti!!..I hope madongo ya U-turn kwa Mange yatakuwa yameshamwingia!!
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, kuna mzungu alitokea kunipenda

Ulijuaje kama anakupenda? Alikuambia anakupenda, au alikuonyesha anakupenda?

Tatizo nyie data zetu hamjui tofauti ya mtu kukwambia anakupenda na kukuonyesha anakupenda. Huyo mzungu amekuambia anakupenda, lakini hakuonyeshi kama anakupenda.

Embu fungueni macho na nyie muone. Sasa hapo unataka ushauri gani?

Tatizo kubwa ni kwamba, unataka uambiwe kitu unachotaka kusikia, lakini ukweli unaujua mwenyewe, na hata sisi tunaujua pia.
 
ukiona zeru zeru halieleweki, tafuta mmasai mwenzio mgawane ng'ombe
 

hivi kumbe huwa ni vitu viwili tofauti eeh.....sikujua
 

...duuuh, ataethubutu kuja kumposa binti yako cha moto atakiona!
 
ndo manake..mambo ya kutema bigijii kwa karanga za kuonjeshwa ni mabaya!!

...hehehe, huu ni msemo mpya unaoshika kasi humu JF, inabidi niutafutie 'kamusi' yake. :A S-coffee:
 
unanihakikishia kuwa hakutakuwa na kesi ya mauaji?

ikitokezea bahati mbaya ukiuwa, niPM ,katika memori zangu nakumbuka nilisomea u lawyer university of uzbekistan. nakuhakikishia utaibuka innocent.

N:B , hakikisha mauwaji hayatokei guest za uswahilini
 
Chombo cha starehe tu.
No luv at all.
Soma alama za nyakati kisha chukua uamuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…