Msaada wakuu; ameambiwa mafigo yote yameshaharibika. Je kuna dawa za asili?

Msaada wakuu; ameambiwa mafigo yote yameshaharibika. Je kuna dawa za asili?

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Mgonjwa wa mafigo ameambiwa mafigo yote yameshaharibika, njia pekee nikupata mtu kumpa moja.
Hivi sasa anasafishwa damu kila baada ya siku mbili tatu.

Jana kuna msaada wowote wa dawa za kiasili? matunda? Zinaweza kumsaidia huyu mgonjwa? Maana spitali ndio washafika mwisho.
 
Kama una uwezo mpeleke India, ni wataalamu wa kutibu ayo matibabu
 
Mgonjwa wa mafigo ameambiwa mafigo yote yameshaharibika, njia pekee nikupata mtu kumpa moja.
Hivi sasa anasafishwa damu kila baada ya siku mbili tatu.

Jana kuna msaada wowote wa dawa za kiasili? matunda? Zinaweza kumsaidia huyu mgonjwa? Maana spitali ndio washafika mwisho.

dawa za asili zenyewe zinaua figo zaidi!
Hapo hakuna muujiza ni either lazima afanye Kidney replacement therapy kwa dialysis au afanyiwe transplant!

Na MNH wameanza kutoa hii huduma
 
dawa za asili zenyewe zinaua figo zaidi!
Hapo hakuna muujiza ni either lazima afanye Kidney replacement therapy kwa dialysis au afanyiwe transplant!

Na MNH wameanza kutoa hii huduma
Huu ni ushauri mzuri wa kuzingatia. Figo miongoni mwa kazi zake ni kuchuja sumu, tayari figo hazifanyi kazi halafu umuongezee madawa ya kienyeji mgonjwa ambayo hutolewa pasi kuangalia dozi maridhawa, side effects na hata kemikali nyinginezo zilizomo ndani yake.
 
Umenikumbusha marehemu baba yangu mdogo, alisafishwa mno damu lakini baadae Mungu alimpenda zaidi. Bila kupata figo nyingine yaani kidney transplant jiandaeni kwa matanga
 
Hakuna tiba mbadala ni kuweka figo nyingine tu
ndugu zake mjitolee
 
ikifiaga hatua kama hiyo ndio utaona umuhimu wa ndugu au mke au hela
 
Back
Top Bottom