Mgonjwa wa mafigo ameambiwa mafigo yote yameshaharibika, njia pekee nikupata mtu kumpa moja.
Hivi sasa anasafishwa damu kila baada ya siku mbili tatu.
Jana kuna msaada wowote wa dawa za kiasili? matunda? Zinaweza kumsaidia huyu mgonjwa? Maana spitali ndio washafika mwisho.
Hivi sasa anasafishwa damu kila baada ya siku mbili tatu.
Jana kuna msaada wowote wa dawa za kiasili? matunda? Zinaweza kumsaidia huyu mgonjwa? Maana spitali ndio washafika mwisho.