Msaada Wakuu: Biashara...!!!

Msaada Wakuu: Biashara...!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Salaam wakuu,
kwa kifupi bila kupoteza muda naomba kuuliza means mtu anazotumia kujilipa kile akipatacho cha ziada (profit) kwenye biashara, au ni njia ipi bora wakuu? kwa mfano kama nikifungua ka grocery, je faida ndio ninayokula ama unajiwekea mshara (fixed cost), kwamba hata kama biashara haikwenda sawa badp nitajilipa kiasi nilichojiwekea? naomba msaada wenu wakuu ambao tayari mna uzoefu kwa swala la ujasiriamali.
out of topic wakuu,
kwa mtaji wa Tshs.10M kwa hapa dar ni biashara ipi yenye low risk ambayo mtu unaweza ukaifanya na ukajipatia nawe ka kipato chako??
 
Salaam wakuu,
kwa kifupi bila kupoteza muda naomba kuuliza means mtu anazotumia kujilipa kile akipatacho cha ziada (profit) kwenye biashara, au ni njia ipi bora wakuu? kwa mfano kama nikifungua ka grocery, je faida ndio ninayokula ama unajiwekea mshara (fixed cost), kwamba hata kama biashara haikwenda sawa badp nitajilipa kiasi nilichojiwekea? naomba msaada wenu wakuu ambao tayari mna uzoefu kwa swala la ujasiriamali.
out of topic wakuu,
kwa mtaji wa Tshs.10M kwa hapa dar ni biashara ipi yenye low risk ambayo mtu unaweza ukaifanya na ukajipatia nawe ka kipato chako??

Hili ni jungu kuu,halikosi ukoko.Nipo na wewe pamoja nasubiri wadau waje wamwage elimi maana kama ulikuwa kwenye akili yangu mkuu kuhusu hilo swala la low risk business in dar
 
Hili ni jungu kuu,halikosi ukoko.Nipo na wewe pamoja nasubiri wadau waje wamwage elimi maana kama ulikuwa kwenye akili yangu mkuu kuhusu hilo swala la low risk business in dar
ngoja tusubiri mkuu
 
Mkuu inategemeana, na wewe kama director ni vizuri ukajilipa mshahara na kama basi sio mshahara basi benefit zingine kama Perdiem na kazalika na hii huwa ni kabla ya faida, yaani faida ni baada ya kutoa kila kitu ikiwemo mshahara wako.
Na biashara ikiwa kubwa unaweza set kabisa mshahara wako na sio unajipangia, no unatafuta watalaamu wa HR wanakupangia, na mshahara utakuwezesha wewe kujikimu mfano kulipa ada za shule, na matumizi milengine, Ila ukiwa Kama mkurugenzi utakuwa na mshahara pamoja na gawio la faida.
 
Mkuu inategemeana, na wewe kama director ni vizuri ukajilipa mshahara na kama basi sio mshahara basi benefit zingine kama Perdiem na kazalika na hii huwa ni kabla ya faida, yaani faida ni baada ya kutoa kila kitu ikiwemo mshahara wako.
Na biashara ikiwa kubwa unaweza set kabisa mshahara wako na sio unajipangia, no unatafuta watalaamu wa HR wanakupangia, na mshahara utakuwezesha wewe kujikimu mfano kulipa ada za shule, na matumizi milengine, Ila ukiwa Kama mkurugenzi utakuwa na mshahara pamoja na gawio la faida.
shukrani sana mkuu kwa elimu hii
 
Back
Top Bottom