Msaada wakuu, hivi ni vitu gani?

Msaada wakuu, hivi ni vitu gani?

mwana ally

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2014
Posts
363
Reaction score
119
Jamani kuna hivi vitu vinafanana na sukari ni nyeupe sanaa. Nimeshaona aina tatu sasa tofauti ni ladha zake..

Ya kwanza ina ladha ya utamu kama sukari na ninaambiwa inatumika kwenye juice au barafu.

Ya pili ina ladha ya uchachu kama limau au ndimu hivi dukani inaitwa ndimu ya unga..

Ya tatu ni yenye ladha siwezi sema ni chungu ila siipati vizuri ladha yake.. Naambiwa inawekwa kwenye nyama jina lake Ajino Moto.

Naomba kuelezwa inavyotumika katika vyakula mbalimbali.. Wataalam @Da Fakhrina na wengine. Asalaam aleikum..... njooni mtoe maujanja.

Natumai mkipata chance mtauona huu uzi..
 
Hiyo ajinomoto achana nayo kabisa sana wanatumia wachina kuongeza ladha kwenye chakula..... ni mono sodium gultamate ni harmful.


Btw hivo vitu unavyo au wataka nunua?
 
Na hiyo ndimu ya unga pia haina maana tumia ndimu za kawaida mi hiyo ndimu ya unga huwezi amini tulikua tunasafishia tiles za jikoni just fikiria unaitia tumboni itakuaje?.........
 
Hata ndimu ya unga sio nzuri sisi twasafishia tiles au tarazo. farkhina hio ajinamoto mie hata nlikua sijui kama ina nadhara asante kwa kutujuza maana nishaitumia sana kwenye nyama.
 
Last edited by a moderator:
Sasa nilikuwa nakuja hukohuko kwenye issue ya kiafya . Je, haina madhara.?? Mi niliwahi kuitumia siku moja akanikuta jirani yangu akanionya kuhusu hiyo ndimu.

Sasa jana niko sokoni nikamsikia mama mmoja anatafuta hiyo sukari anasema inawekwa kwenye juice na barafu wanazotengeneza kwa biashara za mashuleni. ( infact nataka hii topic iende jukwaa la afya ila sijui namna ya kuipost kule nsaidieni)
 
Icopy ikisha nenda jukwaa la jf doctor anzisha kama ulivyoanza huku au omba mods nadhani wanafanyaga hivo
 
Na hiyp ndimu ya unga pia haina maana tumia ndimu za kawaida me hiyo ndimu ya unga huwezi amini tulikua tunasafishia tiles za jikoni just jaalia unaitia tumboni itakuaje?.........

Hata ndimu ya kawaida inaweza kusafishia tiles vizuri tu, doesnt make a difference..

Usitishe watu kuogopa everything artificial, ni sawa na anayechukua coke anaweka inacorrode kitu afu anasema imagine tumboni ikoje...

Tumboni kuna conditions tofauti kabisa na external environment.
 
hata ndimu ya kawaida inaweza kusafishia tiles vizuri tu, doesnt make a difference..
usitishe watu kuogopa everything artificial, ni sawa na anayechukua coke anaweka inacorrode kitu afu anasema imagine tumboni ikoje... tumboni kuna conditions tofauti kabisa na external environment

Dude sio kutisha its a fact kama hukubaliani nami siwezi kukulazimisha
 
Hata ndimu ya unga sio nzuri sisi twAsafishia tiles au tarazo. farkhina hio ajinamoto mie hata nlikua sijui km ina nadhara asante kwa kurujuza maana nshaitumia sana kwenye nyama

Jaan yaani rehma za Mungu tu ndio zatulinda ila hivo tunavyovitia tumboni acha tu
 
Last edited by a moderator:
Jamani ninatamani kuicopy hii post kule kwa madaktari ...nashindwa.. Natumia simu..
 
Dude sio kutisha its a fact kama hukubaliani nami siwezi kukulazimisha
Its not a fact, its simply a guess, n u can't even prove ur statement zaidi ya kusema inafanya kitu flani outside the body... kitu ambacho kinakua consumed na binadamu hasa hivi vyenye chemicals najua process nzima hadi vinavokua approved for consumer usage, usidhani ni rahisi rahisi tu anything harmful kikawa approved na kikaendelea kuwepo muda mrefu bila kupigwa stop...
 
Its not a fact, its simply a guess, n u can't even
prove ur statement zaidi ya kusema inafanya
kitu flani outside the body... kitu ambacho
kinakua consumed na binadamu hasa hivi vyenye
chemicals najua process nzima hadi vinavokua
approved for consumer usage, usidhani ni rahisi
rahisi tu anything harmful kikawa approved na
kikaendelea kuwepo muda mrefu bila kupigwa
stop...
 
its not a fact, its simply a guess, n u can't even
prove ur statement zaidi ya kusema inafanya
kitu flani outside the body... kitu ambacho
kinakua consumed na binadamu hasa hivi vye
nye
chemicals najua process nzima hadi vinavokua
approved for consumer usage, usidhani ni rahisi
rahisi tu anything harmful kikawa approved na
kikaendelea kuwepo muda mrefu bila kupigwa
stop...
thank u
 
Kwa hiyo hizi ndimu za unga hazina madhara yyte maana watu wanaongea mengi kuwa zinapunguza nguvu za kiume??? Naomba kujua
 
Kwa hiyo hizi ndimu za unga hazina madhara yyte maana watu wanaongea mengi kuwa zinapunguza nguvu za kiume??? Naomba kujua
Mkuu nini shida? Tumia ndimu za kawaida na limao zinatosha.
 
Back
Top Bottom