msaada wakuu kuhusiana na maombi ya mikopo

Erick zeph Stanley

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
647
Reaction score
72
Wakuu naomba msaada wenu kwa watu wanaojua process zote za kuomba mikopo katika bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa sababu ninatatizwa na kitu kimoja ambacho n kwamba unapomaliza kuijaza form hiyo unaidownload au unafanyaje na kama unaidownload unaituma kwa njia gani ukmalza kuijaza? Wakuu msaada wenu kama nahitaji msaada zaidi wakuu!
 
Ukimaliza kujaza unapata sehemu ya kudownload then unaiiprint zile pages then kuna sehemu za kupigwa sahihi na pia kuna vi2 inatakiwa uambatanishe the unatuma kwa EMS hizo document
 
Kama wewe ni mwombaji mpya; Kumbuka kulipa hela ya board ya mikopo sh. 30,000 vie M-PESA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…