Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu

Mchezo wa nyuma ukimwi fasta kuukanyaga aiseee ningekuwa mm huyo ni kumfungashia aende Kwa huyo kijana maana adi kufika hapo mtaani wanajua jinsi wanavyokuchapia alafu umekaa kihasara mkuu unamchekea mtu
 
Ilazimishe akili yako iwaze vitu vyenye tija kwa ustawi wa maisha yako, kuna uzi uliandika wewe ni Ke unafanya kazi Bank na blah blah zingine.
Hivi kwanini mnakuwa na matumizi mabaya ya akili ingali bado vijana?
Afya ya akili inazorota aisee.
Umaarufu hauletwi kwa kupata reactions nyingi humu au kwa kuanzisha nyuzi nyingi ?
Priorities Properly
 
Uongo mtupu.
 
Ngumu kumeza! Ndoa yenu changa! Watoto wadogo, nyie bado vijana, maisha matamu, usimfanye chochote dogo, hangaika na mke. MUACHE. Period.
Watoto bado wadogo, utaamuwa uishi nawo au waishi na mama.
Usipomuacha mke waweza muuwa. Bora aende utulie mpaka utakapokuwa tayari kuanza tena mahusiano.
Ndio uanaume, utaweza. Kila la kheri..
 
Hii Story mwanzo niliona km ukweli vilee, ila huku mwishoni nimeonaa ni uongo wa kusadikika tyuuh.

Ila ukweli uliopoo, vijanaa kuanzia 18 had 24, hawaa wanapendaa kukulana nyumaa, wenyewe wanasema huko nyuma kunabana na kuna jotoo.

Wengine wame advance, wanakulana wao kwa wao, zamu zamu.
Halii ilipofikiaa mbayaa kwa kweliii, aaaaaah.
 
Nimefuatilia nyuzi zako kuna uzi uliandika kuwa umemfumania mke wako umemsamehe ila amekataa kurudi nyumbani.
Kwenye huo uzi ulisema unamiaka 40 ila na ndoa yako inamiaka 15 sasa leo unatuambia unamiaka 30 na ndoa yako inamiaka 6 .

We jamaa hivi unatuchukuliaje kwanza aise ondoa uongo wako humu hauna akili wewe utangongewa mpaka akili ikae sawa.
 

Bro alafu dogo anadharau sana, juzi wakati anachukua hela alipofika karibu yako nilimsikia akisema UBAYA UBWELA
 
Dogo aliyeharibu ndoa unasema asideal naye kivipi mkuu.wewe unaweza kumuangalia mtu aliyekuharibia maisha akitamba mtaani
 
Usodoma unaoutangaza ni laana achana nao. Tunajua mnalipwa kutanga ushetani
 
Leo ni chai, kesho utakuja confess bila kupenda otherwise amua iwe siri

Vita ya kijana wa leo ni pesa na mahusiano
Unaongela nafsi yako ukizani Kila mtu anateseka kisa Pesa na Mahusiano.

Nije kukonfes kipi Sasa mbona Kama unapiga ramli tu.
 
Mpaka hapo wewe ni baba na mume huna cha kuamua na ukifanya ujinga wowote unapoteza maisha yako na watoto kwa wakati mmoja
fear women six years wtf i won't give in till i die
 
Kama haya uliyoandika ni ya kweli na Hadi Leo bado yupo ndani basi bro utakuwa una matatizo ya akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…