Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu

tangawizi kidogo halafu sukari nyingi. Halafu imepoa.
 
Mkuu mrejesho ni muhimu SANA tupe mrejesho uliamua nini
 
Hii imekaa vibaya...ni km Kuna upepo mbaya unavuma kila mwanamke now anataka kuonjwa rinda....ni kwa kirefu kidogo nimekuwa na mchepuko wangu miaka 21,,ni maajabu namna anavonilazimisha tujaribu nyuma.
Mkuu pole sana ni upepo mbaya angalia maslah ya hao vijana wako kabla ya kufanya maamuzi.
 
Dah hii kubwa na ni ngumu sana kumeza Kama ile unakuta zebra panawekwa mataa ya kuongozea magari. Huko nje ya ndoa watu hupewa vitu ambavyo ndani havipatikani. TUJITAHIDI sana kutuliza munkari maana maisha bado ya at uhitaji sana
 
Inawezekana kuna connection kati ya shetani na mwanamke.
Sio inawezekana hiyo ni 'live' yupo na shetani. Kuna mwamba mmoja aliwahi kuandika uzi hapa jukwaani kuwa kati ya watu ambao waliwahi kukutana na shetani ni mwanamke, waliongea pamoja wakapanga mambo pamoja hadi sherehe ililiwa pamoja, sio watu wa kuwaamini kabisa. Ishini nao kwa akili
 
Mhh jamani Hilo la nn nyuma ndo linauma zaidi,,,, [emoji41].. mhhhh pole Mkuu..
 
Kaka mada ilikuwa ndefu niishie hapo (kumbuka hii simu anayotumia kunifanyia hivi mimi ndo nilimnunulia laki 6 na 80😓
1. issue sio simuukununu awewe nagharama za simu..hii futa haitakiwi iwemo kwenye majonzi yako
2. tunasema usimuamini bindamu 100 kwa 100
3. hapo uwe mpole sana acha kukurupuka kudeal na watu wa nje au yule dogo
4. ndio ujue janga la jamii,,hauko exposed tu, wadada asilimia kubwa sana wanafanya hi michezo sio wote ila wengi wao, ukiwa nice guy hutajua haya undani wake
5. simu we chukua ushahidi kwanza wote then simu mpe, ila uwe tayari usije lia ena mnaachana au amekuacha au umemuacha huwezi ishi bila yeye...tumia akili na maamuzi.......mdudu mchafu kashianga kwa nyumba...

......MENGINE AMUA MWENYEWE.... achana na mapanga na masime huo utakuwa ujinga zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…