msaada wakuu nina mabanja yasiyoisha

bet master

Senior Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
101
Reaction score
23
msaada wakuu tangu nipo form 1 miaka 15 mpka leoo mabanja hayaishi nisaidien dawa yake ni nn maana yanankera kwel hasa nkiwa katika mkusanyiko wa watu
 
Nilidhani una madeni. Sisi kwetu MABANJA NI MADENI.
 
15 years? hujawahi kwenda hospital? Jaribu kufanya hivyo. Kuna mtu namfahamu alikuwa na tatizo linalofanana na hilo na mwisho wa siku wenye fani zao wakaja kugundua kuwa ana allergy na vitu vya baridi sana. It was a bit funny, ila pale tu alipoachaa kutumia vitu vyenye baridi (maji, matunda, ice cream etc), alipona kabisaaa. So, nenda hospital ukawaeleze historia ya tatizo lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…