Msaada: Wakuu nina Tutorials zangu nataka nianze kuzirekodi na kuzi upload YouTube natakaiwa kuwa na vifaa gani?

Msaada: Wakuu nina Tutorials zangu nataka nianze kuzirekodi na kuzi upload YouTube natakaiwa kuwa na vifaa gani?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Nina masomo mengi sana naona kabisa naweza kushea na Jamii Sasa nataka ni upload YouTube na kwenye MITANDAO ya kijamii.

Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza natakaiwa kuwa na vifaa gani?!

NB: Sijui chochote kuhusu video production.
 
Nina masomo mengi sana naona kabisa naweza kushea na Jamii Sasa nataka ni upload YouTube na kwenye MITANDAO ya kijamii.

Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza natakaiwa kuwa na vifaa gani?!

NB: Sijui chochote kuhusu video production.
Unataka na ww uonekane videos za tutorial zako?
 
Nina masomo mengi sana naona kabisa naweza kushea na Jamii Sasa nataka ni upload YouTube na kwenye MITANDAO ya kijamii.

Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza natakaiwa kuwa na vifaa gani?!

NB: Sijui chochote kuhusu video production.
Nunua condenser microphone ila wengine hutumia dynamic microphone inategemea na mzingira uliyopo. Binafsi natumia condenser microphone nilichukua kwa 110k ikiwa na audio adaptor japo situmii ajustutable adaptor ila narekodia chumbani na hakuna mzingira ya studio ni Meza, ukuta na kiti inatoa very clear sound uedit au usiedit hakuna background noise japo napenda kufanya compression ya audio na kuweka effect zingine kwa Adobe audition.


So nunua kama unaweza hiyo au option ya pili ila iwe sehemu tulivu Sana.


Usilogwe kutumia mic ya ndani ya pc otherwise huko serious.


Kuna software inaitwa wo-mic ukiwa na simu nzuri inaweza kuingiza sauti Safi ila nayo inahitaji mazingira tulivu as dynamic one.



Buy condenser microphone.



Natumia puluz condenser microphone

IMG_20240319_082122.jpg



Kuhusu camera tumia ya simu kama huna pesa ya camera pia nunua light ili kiwe na mwanga sehemu unayorekodia sikuizi bei chee unaagiza hivyo vitu vya msingi NB kama wewe ni mweusi Sana weka mwanga mkali 😀
 
Nunua condenser microphone ila wengine hutumia dynamic microphone inategemea na mzingira uliyopo. Binafsi natumia condenser microphone nilichukua kwa 110k ikiwa na audio adaptor japo situmii ajustutable adaptor ila narekodia chumbani na hakuna mzingira ya studio ni Meza, ukuta na kiti inatoa very clear sound uedit au usiedit hakuna background noise japo napenda kufanya compression ya audio na kuweka effect zingine kwa Adobe audition.


So nunua kama unaweza hiyo au option ya pili ila iwe sehemu tulivu Sana.


Usilogwe kutumia mic ya ndani ya pc otherwise huko serious.


Kuna software inaitwa wo-mic ukiwa na simu nzuri inaweza kuingiza sauti Safi ila nayo inahitaji mazingira tulivu as dynamic one.



Buy condenser microphone.



Natumia puluz condenser microphone

View attachment 2938698


Kuhusu camera tumia ya simu kama huna pesa ya camera pia nunua light ili kiwe na mwanga sehemu unayorekodia sikuizi bei chee unaagiza hivyo vitu vya msingi NB kama wewe ni mweusi Sana weka mwanga mkali [emoji3]
ASANTE SANA MKUU UMENIFUNGUA PAKUBWA SANA
 
Back
Top Bottom