Nimefanya aplication tena kwenye simu ikakubali na wakati jina langu HALIPO kwa wanaotakiwa kurudia 2nd round ila kwenye computer buton ya apication haipo active,,,nisaidieni wakuu hapo inakuaje?
Nilipochagua 2nd round profile yangu bado ipo vilevile course zote 5,,,ina maana haina shida?
Iko hiv wali hide zile programe nyingne ali watu wasifanye editing bali waongez ili zitimie sita ila majority hawajafanya ivo so worr not kama ipo safi