ndugu yako
Senior Member
- Mar 30, 2013
- 193
- 96
habari zenu wakuu wa jukwaa hili?
samahani naomba mnisaidie mambo matano hv!
kwanza, eti kama kampuni ikianzishwa na watu wawili au zaidi, je ni kweli kuwa wote hamuwezi kuwa na hisa (share) kiwango sawa?! mfano katika asilimia 100% ya share mmoja ni lazima amiliki asilimia nyingi zaidi ya mwingine?!
pili, hivi kwa million tano tu ninaweza kuanzisha kampuni ya uwekezaji kwenye nyanja tofauti tofauti?
tatu, kwa kampuni yenye mtaji usiozidi million 10 kodi ni asilimia ngapi?!
nne, kwa hiyo kampuni natakiwa niwe na lesen ngapi?!
tano, je naweza kuanzisha kampuni bila kuwa na phiscal office?!
shkran kwa msaada wenu!
samahani naomba mnisaidie mambo matano hv!
kwanza, eti kama kampuni ikianzishwa na watu wawili au zaidi, je ni kweli kuwa wote hamuwezi kuwa na hisa (share) kiwango sawa?! mfano katika asilimia 100% ya share mmoja ni lazima amiliki asilimia nyingi zaidi ya mwingine?!
pili, hivi kwa million tano tu ninaweza kuanzisha kampuni ya uwekezaji kwenye nyanja tofauti tofauti?
tatu, kwa kampuni yenye mtaji usiozidi million 10 kodi ni asilimia ngapi?!
nne, kwa hiyo kampuni natakiwa niwe na lesen ngapi?!
tano, je naweza kuanzisha kampuni bila kuwa na phiscal office?!
shkran kwa msaada wenu!