Pole sana mkuu. Kwakuwa unashindwa kula nyama ya kawaida siyo mbaya unaweza kuacha kuila ila ingekuwa ni ile "nyama" nyingine kidogo kungekuwa na shida. Turudi kwenye tatizo;
1. Huwa unakumbuka kula matunda mara kwa mara?
2. Una swaki mara ngapi kwa siku?