Msaada waliopo maeneo ya Bunju, Goba, Changanyikeni, Salasala na Mavurunza

Msaada waliopo maeneo ya Bunju, Goba, Changanyikeni, Salasala na Mavurunza

Haupo serious, biashara unayotaka kuifanya inabidi ufanye survey mwenyewe ikiwezekana ujue ni dawa zipi ambazo znapatikana au haxipatikani kwenye hayo maduka. epuka secondary data kwenye mambo ya msingi
 
Yes nikweli nimeshafanya kwa maeneo ya bunju tayari ila lazima uwe na mwenyeji anayeijua mitaa vizuri maana mengi ya maduka yapo barabarani na hayana vibali kwani wanahitaji mita 300 kati ya duka moja na jingine
 
Back
Top Bottom