BIG Africa
Member
- Oct 15, 2022
- 85
- 118
Binafsi ntakutolea mfano wa makampuni yaliyokuwa yanalinda minara ya simu na mfano huu ni wa 2006 hadi 2017. Kwa sasa sijui ipoje.Habari zenu,
Nauliza hivi; wamiliki wa Makampuni ya Ulinzi Binafsi wao wanapataje faida? Nimeuliza hivyo kwasasabu usajili wa Makampuni ya Ulinzi Binafsi unaongezeka kila kukicha na inavyoonekana ni biashara nzuri.
Nawasilisha.
Kwa kuwalipa kidogo wafanyakazi wao, kuna kampuni ndani ukichewa unakatwa ukilala unakatwa unakuta mtu anapokea hadi elfu tisini,, ila kmpuni. Inapokea 400k
Ahsante Kwa mchanganuo mzuriBinafsi ntakutolea mfano wa makampuni yaliyokuwa yanalinda minara ya simu na mfano huu ni wa 2006 hadi 2017. Kwa sasa sijui ipoje.
Mapato
1. Walikuwa wanalipwa Tshs. 400,000/- per head per month
2. Kila bunduki inalipiwa kama mlinzi kamili, 400,000/- per bunduki per month.
Matumizi
1. Kampuni ilikuwa inamlipa mlinzi 150,000/- per month
Kwa eneo moja la mnara, anakuwa na walinzi wawili, mmoja mchana mwingine usiku. Hii ni kwa BTS site (Tshs. 800,000/- toa 300,000/-). Lakini kwa BSC site wawili mchana na wawili usiku na bunduki moja (2,000,000/- toa 600,000/-). Kwa switch site watatu mchana watatu usiku na bunduki moja (2,800,000/- toa 900,000/-). Kwenye BSC na switch, kunakuwa na bunduki moja moja 24/7. Ukishatoa matumizi hayo, kinachobaki ni chake, ingawa atatakiwa kulipa Gharama za kumiliki kampuni ya ulinzi
Kwa kuwalipa kidogo wafanyakazi wao, kuna kampuni ndani ukichewa unakatwa ukilala unakatwa unakuta mtu anapokea hadi elfu tisini,, ila kmpuni. Inapokea 400k
Hu mchezo uko suma,Taasisi inalipa kila mlinzi laki 4 ,ila kampuni wanakuja kulipa mlinzi laki na nusu na supervisor laki 2 na nusu kwahiyo cha juu wanabaki nacho wao.
Hu mchezo uko suma,
Unalipa mlinz mmoja mwenye silaha lak7 per month,bado Ela ya kulipia bunduki inafika Jumla 1M+ ila mlinzi husika analipwa 280k Bila posho yoyote na kabeba chombo Cha moto unategemea alinde Mali za mamilioni kwa ufasaha[emoji2
uongo suma wanalipa 195k hata kama unashnda na silahaHu mchezo uko suma,
Unalipa mlinz mmoja mwenye silaha lak7 per month,bado Ela ya kulipia bunduki inafika Jumla 1M+ ila mlinzi husika analipwa 280k Bila posho yoyote na kabeba chombo Cha moto unategemea alinde Mali za mamilioni kwa ufasaha[emoji26]
Kwamba mlinzi mmoja = laki 7 bila bunduki?Hu mchezo uko suma,
Unalipa mlinz mmoja mwenye silaha lak7 per month,bado Ela ya kulipia bunduki inafika Jumla 1M+ ila mlinzi husika analipwa 280k Bila posho yoyote na kabeba chombo Cha moto unategemea alinde Mali za mamilioni kwa ufasaha[emoji26]
Dah! Sasa kwa mshahara wa laki 1.5 kwa mwezi unaendeshaje maisha!! Bora kujiajiri aisee.Binafsi ntakutolea mfano wa makampuni yaliyokuwa yanalinda minara ya simu na mfano huu ni wa 2006 hadi 2017. Kwa sasa sijui ipoje.
Mapato
1. Walikuwa wanalipwa Tshs. 400,000/- per head per month
2. Kila bunduki inalipiwa kama mlinzi kamili, 400,000/- per bunduki per month.
Matumizi
1. Kampuni ilikuwa inamlipa mlinzi 150,000/- per month
Kwa eneo moja la mnara, anakuwa na walinzi wawili, mmoja mchana mwingine usiku. Hii ni kwa BTS site (Tshs. 800,000/- toa 300,000/-). Lakini kwa BSC site wawili mchana na wawili usiku na bunduki moja (2,000,000/- toa 600,000/-). Kwa switch site watatu mchana watatu usiku na bunduki moja (2,800,000/- toa 900,000/-). Kwenye BSC na switch, kunakuwa na bunduki moja moja 24/7. Ukishatoa matumizi hayo, kinachobaki ni chake, ingawa atatakiwa kulipa Gharama za kumiliki kampuni ya ulinzi