Dah!asanteni sana.ila kuna m2 alinambia kwakua nlmalza 4m4 2010,suala la udhamini wa kserkali nlsahau sa cjui km ukweli kuhusu hl?nlkw nshanza advance pcb ila nliumwa sana,mpaka saiv narecover,hata intrst na advance ishatoweka mana naona ctoperform kbsa,km mnavyoijua advance c ktoto ukzngatia msuli wa pcb...niponipo 2 mwanajamv mwenzenu yani km cjapangwa kusoma vle!!!