Msaada wana Jf doctor

Gwataimbwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
343
Reaction score
125
Wakuu naomba msaada wa tatizo hili nililonalo mara nyingi nikitembea umbali wa kilomita 3 mwili wangu hasa sehemu ya mapaja na nyuma ya magote huwa yanawasha sana ambapo huwa najikuna sana. Siyokwamba unapojikuna labda kunatokea ukrutu au upele laa. Na tatizo hili linanitesa sana hasa pia wakati wa kufanya mazoezi asubuhi.Je tatizo ni nini? Nisaidieni
 
Nenda hospitali....
Ukiwasubiria Ma-dr humu utachina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…