Msaada wana jf kuhusu katiba.

Sayfulhaq

Senior Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
140
Reaction score
140
Naombeni mnisaidie nukta hizi 2:-
1) Ni kipi kisichotakiwa kwa vijana ambapo kimo katika katiba ya sasa
2) Ni kipi kiwemo ktk katiba ijayo chenye maslahi kwa vijana.
 
yanahitajika maelezo marefu , labda la msingi tambua kuwa katiba inatokana na watu ,hivyo ndio wana uwezo wa kuamua kipi kiwemo kwenye katiba na kipi kisiwemo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…