habari zenu wana mzumbe, naombeni kujua lini mwisho wa kulipa tution fee.halafu kwani tunalipa kila kitu kupitia akaunti ya chuo au vingine tunalipia main camp. KM ada ya MUSO,hostel fee n.k. msaada wengine wageni pale.
habari zenu wana mzumbe, naombeni kujua lini mwisho wa kulipa tution fee.halafu kwani tunalipa kila kitu kupitia akaunti ya chuo au vingine tunalipia main camp. KM ada ya MUSO,hostel fee n.k. msaada wengine wageni pale.
Upekee upi uliopo mzumbe mkubwa!