Inawezekana kama 2 unavigezo kulngana na degree course requirement unayotaka kuamia bt tym iz limited ukichelewa sn inakula kwako pia kutoka fani ya ualimu kwenda fani yoyote ili hawaruhusu hata kwa hongo,nakushaur kuanzia tar 12/10 uwepo chuo na umalze reg kwanza then anza mchakato,zaid onana na DOS atakusaidia sn