Wadau wa masuala ya taaluma ya elimu ya juu, ninawaomba mnichagulie ni fani ipi ninaweza kusoma na nisijutie nikiwa mtaani baada ya kuhitimu.Fani zenyewe ni Electrical Engineering, Mechanical Engineering na Architecture. Hayo ndo machagua ninayotaka kuapply ila nimeona ni vyema niwashilikishe wadau. Mwaka jana nilipata Mech Eng(CoET) ila sikupata loan hivyo sikwenda chuoni ndio maana inanibidi niapply tena mwaka huu.
Masada wako unahusika sana.