Sir Lugoje
Senior Member
- Jan 9, 2014
- 169
- 54
Nilianza kukohoa nikiwa depo mwaka jana, nikapigwa xray lakini baado madaktari wa KCMC wakasema wameshindwa kujua ni nini.
Mwaka huu tena imetokea..huwa nikianza kukohoa kawaida mara damu inaanza kutoka hadi puani,sio na makohozi ni damu tu.
Nikaambiwa ni AC ya ofisini au feni ya gheto. Baadae nikaviepuka,nikajisahau siku moja nikaendesha pikipiki bila koti,nikakohoa damu mfululizo mpaka nikaenda regency hospital nikapigwa xray nikaambiwa kuna uhafifu kwenye pafu la kulia lakini hawajui ni tatizo gani,sio TB wala kansa.
Nikapewa strong antibiotic KOACT ndo nmeitumia wiki hii. Naendelea vizuri.
NAOMBENI MNISAIDIE KUJUA NI TATZO GANI. JE NI BARID YA KUKIMBIA AU KUENDESHA PIKIPIKI AU NI NINI?
Mwaka huu tena imetokea..huwa nikianza kukohoa kawaida mara damu inaanza kutoka hadi puani,sio na makohozi ni damu tu.
Nikaambiwa ni AC ya ofisini au feni ya gheto. Baadae nikaviepuka,nikajisahau siku moja nikaendesha pikipiki bila koti,nikakohoa damu mfululizo mpaka nikaenda regency hospital nikapigwa xray nikaambiwa kuna uhafifu kwenye pafu la kulia lakini hawajui ni tatizo gani,sio TB wala kansa.
Nikapewa strong antibiotic KOACT ndo nmeitumia wiki hii. Naendelea vizuri.
NAOMBENI MNISAIDIE KUJUA NI TATZO GANI. JE NI BARID YA KUKIMBIA AU KUENDESHA PIKIPIKI AU NI NINI?