MSAADA WANAJF KUHUSU MECHI YA CHAD Vs TANZANIA

Status
Not open for further replies.

IrDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
745
Reaction score
359
Wadau naomba mnifahamishe kama mechi hii ya Chad Vs Tanzania itakayofanyika tarehe 11/11/2011 kama itarushwa moja kwa moja na kituo chochote cha televisheni hapa Tanzania kwa sababu hawajatangaza.Vilevile nina ndugu yangu yuko Malaysia na yeye anaomba kufahamishwa kama anaweza kuangalia online na ni kwenye website gani?

Jamani samahani sana kwa kuanzisha thread hii ambayo sina uhakika kama nimeileta panapohusika na kama itakuwa nimekosea basi naomba mniwie radhi wadau.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…