WanaJF, mimi nataka nianze biashara ya duka la vipodozi, nilikuwa naomba kwa mwenye kujua vipodozi vilivyozuiliwa aniorodheshee hapa ili nisije nikaanza biashara yangu vibaya, naogopa kupata hasara zinazoweza kukwepeka.
Au kama kuna namna ya kujua bidhaa halali nijuzeni jamani maana jinsi nilivyokuwa najua nilidhan mpaka pawe na maneno ya TBS, lakini nimeshangaa kuona vitu vingi ninavyotumia hapa nyumbani havina neno TBS au TFDA, nikaona bora nipate ushauri kabla sijaenda kununua mzigo.
Au kama kuna namna ya kujua bidhaa halali nijuzeni jamani maana jinsi nilivyokuwa najua nilidhan mpaka pawe na maneno ya TBS, lakini nimeshangaa kuona vitu vingi ninavyotumia hapa nyumbani havina neno TBS au TFDA, nikaona bora nipate ushauri kabla sijaenda kununua mzigo.