Yasin Yahya
Member
- Jan 18, 2013
- 33
- 0
Kwa mfano kwa kutumia matokeo ya mwaka jana(2012) jinsi yalivyo kuwa yametoka.
Matokeo ya mwanzo kwa mfano mtu akawa amepata IV 33 akaamua bora arudie mtihani,matokeo ya pili yalivyo toka akawa amepata IV 30.
Je?huyu mtu anaweza kuapply chuo wakati amesha jisajiri kufanya mtihani
Matokeo ya mwanzo kwa mfano mtu akawa amepata IV 33 akaamua bora arudie mtihani,matokeo ya pili yalivyo toka akawa amepata IV 30.
Je?huyu mtu anaweza kuapply chuo wakati amesha jisajiri kufanya mtihani