Msaada wanaJF, tafadhali nina tatizo

Kumbila medi

Member
Joined
May 31, 2017
Posts
99
Reaction score
69
Msaada ninaohitaji hapa wana jf ni kwa wale wataalamu wa masuala ya Reproduction. Tupo ktk ndoa yapata miezi saba sasa na hakuna dalili za upatikanaji wa mimba. Naomba mnisaidie kwa mnofahamu kuhusu utungishwaji wa mimba Nina ham sana ya kuitwa baba.

Msaada tafadhali!

Nawasilisha kwenu wakuu.
 
Ais we wewe bado Ni mtoto Sana, subir ten years
 
Angalia huo mzunguko.kuanzia tarehe 11 mpaka 16.kandamiza kisawa sawa mimba lazima.
Vinginevyo mtakuwa na matatizo.mkamuone daktari
 
Punguza hasira na wasi wasi wakati wa tendo la ndoa utafanikiwa chap chap.
 
Mshaenda hospital kucheki? Ila miezi saba mbona michache
 
Mkuu miezi saba mapema sana kuwa na stress unless unajishtukiaa...hujawahi kuwa hata na wakusingiziwa? kula vizuri,fanya mazoezi na pata mda kupumzika kitu kitajipa tu...
 
pole sana nenda kwa daktari mkapimwe sio jambo la kawaida
 
Muda wa chini kabisa wa kuanza wasiwasi n mwaka mmoja sio miezi Saba.

Kama unaharaka, mchukue mke wako mwende hospita
Wewe kapime sperm
Mama na yeye anapige ultrasound na apime hormones kama siku zake hazina mzunguko wa kueleweka...
 
Reactions: dtj
Check with doctors please.. Miezi saba sio haba unless kama kuna mwenye msongo wa mawazo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…