Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
miezi saba mingi sana mkuu plus wanasex kila siku mara kadhaa kuna kitu mahali only doctor can tellCheck with doctors please.. Miezi saba sio haba unless kama kuna mwenye msongo wa mawazo...
Wazoefu huwa tunatumia staili hiyo[emoji23][emoji23]fuata kalenda halafu fanya kifo cha mende usimkunje kunje .. mle vizuri asiwe na stress
Dah watu mnachekesha sana.fuata kalenda halafu fanya kifo cha mende usimkunje kunje .. mle vizuri asiwe na stress
hahahhahahahhahafuata kalenda halafu fanya kifo cha mende usimkunje kunje .. mle vizuri asiwe na stress
Kifo cha mende?wengine huwa wanaingia na FB unabaki unashughulika peke yako.fuata kalenda halafu fanya kifo cha mende usimkunje kunje .. mle vizuri asiwe na stress
hapana kwa ajili ya kutafuta mtoto kifo cha mende is the bestKifo cha mende?wengine huwa wanaingia na FB unabaki unashughulika peke yako.
kuna mwingine mayai yanakomaa ila mikao yake sasa ndiyo mibovu...Dah watu mnachekesha sana.
Kwani hiyo mikao inauhusiano wowote na kukomaa kwa yai kwenye siku za hatari hati kuzuia utungaji mimba??
Msaada ninaohitaji hapa wana jf ni kwa wale wataalamu wa masuala ya Reproduction. Tupo ktk ndoa yapata miezi saba sasa na hakuna dalili za upatikanaji wa mimba. Naomba mnisaidie kwa mnofahamu kuhusu utungishwaji wa mimba Nina ham sana ya kuitwa baba.
Msaada tafadhali!!!
Nawasilisha kwenu wakuu.