msaada wanajf

tunyi

Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
15
Reaction score
2
mimi ni mwajiriwa mpya idara ya kilimo wilaya ya chato. NINA MASWALI: 1) fedha ya kujikim kwa graduate ni ngapi na kwa sku ngapi.
2) ni kilometa ngapi toka mbozi -mbeya hadi chato- geita.
3) ni tani ngapi za mizigo zinagharamiwa na ni shilingi ngapi?

Tafadhali mwenye informations za uhakika anisaidie. Natanguliza shukurani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…