Raia mpya
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 673
- 1,915
Natanguliza Salaam kwenu ndugu zangu mimi ni kijana mwenzenu nahitaji kujiajiri sasa changamoto ipo sehemu wanapouza bidhaa kwa jumla hasa hizi consuming product kama pipi, biskuti miswaki nk
So kwa anaefahamu anaweza niambia ni wap semehu nzuri inauzwa hizo bidhaa kwa bei ya chini maana mi nataka ninunue kwa jumla na niende kuuzia watu kwa bei ya jumla na mimi pia niweze pata faida.
So kwa anaefahamu anaweza niambia ni wap semehu nzuri inauzwa hizo bidhaa kwa bei ya chini maana mi nataka ninunue kwa jumla na niende kuuzia watu kwa bei ya jumla na mimi pia niweze pata faida.