jifunze ku balance your life inside out...kuwa na kaisi na kila jambo...jaribu kila unapotaka kula kujiuliza sabbat hasa ya kukufanya ulie nini? deal na kiini cha tatizo na sio matawi ya tatizo.Habari zenu wana jamii forum, tatizo langu hua na low mood (easily upset) inayonipelekea kujiskia kulia without a strong reason. je nifanyeje niepukane na hii hali?
Use that thing I adviced youHabari zenu wana jamii forum, tatizo langu hua na low mood (easily upset) inayonipelekea kujiskia kulia without a strong reason. je nifanyeje niepukane na hii hali?