CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Nina kesi ya ardhi ambayo imekuwa under litigation for 24 years. In the primary court, I won. On appeal, I lost and at the High Court, I won my appeal. My opponent on application for leave to appeal to the Court of appeal on point of law the high Court certified on point of law and his application was granted.
Nashukuru kwa ushauri. Shamba bishaniwa nalikalia mimi baada ya kushinda High court. Nina wasiwasi ataomba extension of time to lodge notice of appeal out of time, ambayo itampa kibali cha kuomba leave of the court to lodge an appeal. Sijui atatoa sufficient reasons zipi lakini kuna uwezekano wakamkubalia. Kama anadelay hivyo, nitamzuiaje asifanye haya hapa juu.Kama alishapata leave kwenda CA na haja-lodge Notice of Appeal and you are certain that he is out of time, may be he has lost interest to persue the matter baada ya kuona bado safari ni ndefu. so you write a letter to the Registrar of the High court( CC huko primary court) ukiomba remittance of the case file to Primary court for execution purposes. Hakikisha unnafuatilia kwa karibu i mean unavyopeleka hiyo nakla ya barua P/court make sure unamuona mhe. Hakimu mfawidhi ili kupe maelekezo maana process ya execution huko primary court mpaka iwe issued na mkuu wa Wilaya akimuelekeza afisa mtendaji wa kijiji sijui/kata akabidhi eneo, ni kama kuna siasa flani hapo depending on who are the parties to the case.
Nyani najua wewe ni mwana sheria umenielewa, we nisaidie. narekebisha kiingereza basi[/B][/U]Duh! Nimetoka kapa hapo....Kizungu kigumu kweli! Jaribu kurahisisha kidogo basi na sie ambao si wasomi tukuelewe.
Nashukuru kwa ushauri. Shamba bishaniwa nalikalia mimi baada ya kushinda High court. Nina wasiwasi ataomba extension of time to lodge notice of appeal out of time, ambayo itampa kibali cha kuomba leave of the court to lodge an appeal. Sijui atatoa sufficient reasons zipi lakini kuna uwezekano wakamkubalia. Kama anadelay hivyo, nitamzuiaje asifanye haya hapa juu.