Msaada: Wanasheria naomba nisaidieni maana ya hizi terms, naomba sana

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
3,045
Reaction score
3,389
Wakuu, naombeni mnidadavulie maana ya terms hizi kisheria kulingana na sheria ya kazi Tanzania.

-ukibaka mfanyakaz mwenzio ni criminal offense au fraud au gross misconduct ?

Thanks in advance wakuu.
 
Gross misconduct- tabia mbaya isiyo kubalika...inayo fanywa na mfanyakazi au mwana taaluma.

Criminal Offence - kosa la jinai

Fraud ipo katika Criminal offence.
 
Kwani Kubaka (rape), kuna pungua au kuongezeka kisa umebaka mfanyakazi
 
Kwa mnasaba wa swali lako majibu ni:

1) Kubaka ni kosa la jinai (criminal offence)
2) Ikiwa limetendeka katika mazingira ya kazi/wakati/eneo la kazini na mbakaji na victim ni wafanya kazi/mfanya kazi mwenzio..Basi kosa hili mbali na kuwa criminal offence basi pia litakuwa ni kosa gross misconduct kwa mnasaba wa sheria za kazi..na muajiri wako anaweza kukuachisha kazi kwa sababu hiyo.baada ya kufuata taratibu za kisheria za kuterminate mkataba wa ajira.

Summary:
Rape may be both Criminal offence and Gross misconduct in terms of labour laws.so it will depend on circumstances/place inwhich the offence was committed.
 
kubaka automatically ni criminal offense... (kosa la jinai).

Sasa linaendelea kuwa gross misconduct kutegemea umebaka kwa mazingira yapi, mfano ukibaka kwenye mazingira ya kazi basi moja kwa moja ni gross misconduct
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…