Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Hili suala nahitaji ushauri wa Wanauchumi
Ninafanya kazi/kibarua sehemu fulani huku jiji la kanda ya ziwa
Nimepanga chumba nalipia Kodi 30k per month,.bill ya umeme na maji pia
Natumia nauli kwenda na kurudi kibaruani
Sasa nataka mwaka ujao nianze kuweka akiba Ila najiuliza kwa pesa hii nitaweza kusurvival mwezi mzima bila kukopa sehemu
Lengo langu nianze kutunza fedha kuanzia 2020 ,Sasa Wanauchumi nipeni mbinu za kufanikisha jambo hili kwa salary ya 120K
Asanteni
Ninafanya kazi/kibarua sehemu fulani huku jiji la kanda ya ziwa
Nimepanga chumba nalipia Kodi 30k per month,.bill ya umeme na maji pia
Natumia nauli kwenda na kurudi kibaruani
Sasa nataka mwaka ujao nianze kuweka akiba Ila najiuliza kwa pesa hii nitaweza kusurvival mwezi mzima bila kukopa sehemu
Lengo langu nianze kutunza fedha kuanzia 2020 ,Sasa Wanauchumi nipeni mbinu za kufanikisha jambo hili kwa salary ya 120K
Asanteni