Mbona hufuati maelekezo? Hakuna menu color, unaweka neno la rangi kama red.. Fuata nilivyokuelekezaHii ndo ngumu hata menu ya color....(ribbon ya color) siioni.
[Siachi nafasi mkuu]
Kuweka itallic unatupiamo nini hapoHAHAHAHAHAH!!!! MBONA RAHISI TU
To underline kwa upande huohuo wa whatsappKwa upande wa WHATSAPP mnaweza ongezea na hizi....
_NENO_
~NENO~
*_NENO_*
*~NENO~*
asanteni
Download snaptube au tubemate,Nisaidien jins ya kudownload video from You tube kwa simu