Tumia mabano haya[ ] mbona mm siwezi.(B)mbonammsiwezi
Fanya hivi mamii anza na mabano haya [ ] katikati ya mabano andika b kati ya mabano na b usiache nafasi then unaweza kuendelea yaani bado.[Bado]
nimeweza kwa maelekezo yako asanteFanya hivi mamii anza na mabano haya [ ] katikati ya mabano andika b kati ya mabano na b usiache nafasi then unaweza kuendelea yaani bado.
Sent from my Vodafone 785 using JamiiForums mobile app
Usijali mkuu jf ni darasa tosha.tuko pa1.nimeweza kwa maelekezo yako asante
[emoji3] [emoji3] we acha tu.ualimu mgumu sana aiseee
mbona umeweza sasa.mbona nashindwa