Humo ndan unaiweka b kisha maneno unayaweka nje bila mabano
ualimu mgumu sana aiseee
najaribuKubold maneno JF ni [ b ] bananisha hapo kisha andika maneno yatakua bolded
hyo ni kwenye whatsapp mkuuMwenye kunielewesha zaidi karibu
vipi na kumantion/kutag mtu... [emoji16][emoji16] nataka kukutag sehem ivi