Msaada: wapi naweza fanya checkup na kupata tiba ya uhakika?

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,129
Wadau naomba mnijuze hospital nzuri ambayo naweza pata matibabu ya uhakika. Ni zaidi ya mwaka sasa nasumbulia na malaria na sijawahi pata nafuu hata siku moja. Kwa sasa nimepata offer ya kutafuta mahali pa uhakika pa kutibiwa. Naomba msaada wenu
 
pole na malaria,je umepima? na ukipima mara kwa mara umekuwa unakutwa na ngapi? na je unatumia dawa sahihi? na huwa unacheki Typhoid eleza vizuri naweza kukusaidia nina utaalam na hilo kidogo
 
pole na malaria,je umepima? na ukipima mara kwa mara umekuwa unakutwa na ngapi? na je unatumia dawa sahihi? na huwa unacheki Typhoid eleza vizuri naweza kukusaidia nina utaalam na hilo kidogo

mkuu asante, malaria huwa nakutwa nayo, ila bahati mbaya huwa siambiwi/siulizi ni ngapi na kwa sasa sijapima ila ni dalili zote za malaria. Kuhusu typhoid nimepima mara nyng na sijawahi kutwa nayo.
 
pole na malaria,je umepima? na ukipima mara kwa mara umekuwa unakutwa na ngapi? na je unatumia dawa sahihi? na huwa unacheki Typhoid eleza vizuri naweza kukusaidia nina utaalam na hilo kidogo

kuhusu usahìhi wa dawa siwezi nikasema, lakini huwa najitahidi kumaliza dozi.
 
Wadau naomba mnijuze hospital nzuri ambayo naweza pata matibabu ya uhakika. Ni zaidi ya mwaka sasa nasumbulia na malaria na sijawahi pata nafuu hata siku moja. Kwa sasa nimepata offer ya kutafuta mahali pa uhakika pa kutibiwa. Naomba msaada wenu
Mkuu kama umepata offer si uende INDIA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…