Hipimo hicho sio kizuri sana.Muhimbili wanapima vizuri.Kuna nja ya kunywesha uji fulani asubui kabla hujala chochote.Uji huo una ladha kama ya magnesium.Then baada ya robo saa unawekwa kwenye T-scan kwenye tumbo.Inaonesha vidonda vyote hata kami vipi kwenye utumbo.Ila cha kupitishwa mirija ni vigumu kupenya kwenye utumbo.Tafuta hii ya uji.
kipimo cha kuingiziwa kamera kwa njia ya mrija inatwa gastroscopic method!! Faida zake ni kubwa kuliko ct scan! Kwanza wadudu wa vidonda vya tumbo wako wengi kitaalam wata helicobaktaz, ambao dokta huweza kuwatambua kwa kuona sehemu iliyoliwa na hawa wadudu!nashukuru kwa taarifa@mkombozi, unaweza kufahamu gharama zake kwa muhimbili na kinapatikana kitego gani; muhimbili unaweza kwenda bila kupewa rufaa? Nitashukuru kama una taarifa zaidi.
Wanajamii, ikiwa kama kuna mtu anafahamu sehemu ambayo naweza kupata kipimo kizuri cha uchunguzi wa Tumbo au Vidonda vya Tumbo. Naomba anifahamishe, inaweza kuwa Dar au nje ya Dar.
Nasikia kuna kipimo unaingizwa mrija ambayo unakuwa na kamera na kufanya uchunguzi wa Tumbo hasa kunapokuwa na dalili ya vidonda vya tumbo.
Natanguliza shukrani.
Mkuu we ukiona una dalili za
vidonda vya tumbo, ni- PM nitakupa namba ya Dr mmoja anaetibu vidonda
vya tupo kwa bei ambayo mtu huwezi kuamini. Of course anasaidia watu
according to him na hataki kabisa kujitangaza. anasema waliopona ndio
matangazo yake.
Huyu jamaa kasoma sana china na sasa anafundisha chuo kikuu kimoja, dawa
anauza 30,000 (unatumia dozi moja tu). Brother yangu alikuwa
critical na alishatumia kila aina ya dawa hata hawa unaowaona kwenye TV
leo wakijiita watalalamu lakini hakupona. Alipopata taarifa za huyu
jamaa na bei yake, akagoma kununua, baada ya kushawishiwa sana akanunua
na amepona kabisa sasa. Kama umeisikia ipo kama ile dawa ya macho na
yenyewe unatumia kadrop kamoja kamoja nadhani kwa siku.
na mimi nisaidie namba ya huyo dokta 0685100909
Kinapatikana hospitali ipi nyingine mkuu,muhimbili si mpaka rufaaHipimo hicho sio kizuri sana.Muhimbili wanapima vizuri.Kuna nja ya kunywesha uji fulani asubui kabla hujala chochote.Uji huo una ladha kama ya magnesium.Then baada ya robo saa unawekwa kwenye T-scan kwenye tumbo.Inaonesha vidonda vyote hata kami vipi kwenye utumbo.Ila cha kupitishwa mirija ni vigumu kupenya kwenye utumbo.Tafuta hii ya uji.
Je ulimtafuta? Ulipona?? Hukuliwa pesa zako bure bure na makanjanja wa jf?na mimi nisaidie namba ya huyo dokta 0685100909