Msaada; Wapi naweza kupata kwa wingi Karafuu, Ufuta, Dengu na Pilipili Manga?

Msaada; Wapi naweza kupata kwa wingi Karafuu, Ufuta, Dengu na Pilipili Manga?

mtumbiaji

New Member
Joined
Aug 5, 2024
Posts
2
Reaction score
0
Habari WanaJF!

Nahitaji link, muhusika (supplier), mkulima au mwenye kufahamu ninapoweza kupata kwa wingi KARAFUU, UFUTA, DENGU na PILIPILI MANGA.

Nina mnunuzi tayari mkononi. Naomba msaada tafadhali pa kuanzia na bei zilizo rafiki.

Naweza kufika popote kufata mzigo kwa gharama zangu lakini napatikana Arusha na Dar es Salaam.

Tunaweza kuwasiliana kupitia 0718080771 (Whatsapp & Calls)

Asante!
 
Habari WanaJF!

Nahitaji link, muhusika (supplier), mkulima au mwenye kufahamu ninapoweza kupata kwa wingi KARAFUU, UFUTA, DENGU na PILIPILI MANGA.

Nina mnunuzi tayari mkononi. Naomba msaada tafadhali pa kuanzia na bei zilizo rafiki.

Naweza kufika popote kufata mzigo kwa gharama zangu lakini napatikana Arusha na Dar es Salaam.

Tunaweza kuwasiliana kupitia 0718080771 (Whatsapp & Calls)

Asante!
Demand yako ni kiasi gani? Mimi nipo kwenye group la mtandao wa wakulima wa kisasa wanaoexport bidhaa nje.

Mara nyingi anayehitaji kitu anasema mahitaji yake kama ni tons au vipi?
 
Demand yako ni kiasi gani? Mimi nipo kwenye group la mtandao wa wakulima wa kisasa wanaoexport bidhaa nje.

Mara nyingi anayehitaji kitu anasema mahitaji yake kama ni tons au vipi?
Between 30 to 50 Tons kwa kila zao. Thanks in advance
 
Demand yako ni kiasi gani? Mimi nipo kwenye group la mtandao wa wakulima wa kisasa wanaoexport bidhaa nje.

Mara nyingi anayehitaji kitu anasema mahitaji yake kama ni tons au vipi?
Unaweza nipatia link mkuu kama hutojali tafadhali
 
Back
Top Bottom