Msaada: wapi naweza pata fundi mwenye kushona suti kama hii??

Nawaza mambo kwa kina lakini majibu sina, uwezo wa Mungu unaonekana.
 
Ilibidi nizoom nione hiyo suti vizuri
 
Neema za Allah...(By Sheikh Kipozeo).
 
hapo umpate shekhe kipozeo akupe jina la hiyo suti shekhe....atakwambia neema za allah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…