Msaada: Wapi nitapata cd/dvd kwa bei ya jumla?

Msaada: Wapi nitapata cd/dvd kwa bei ya jumla?

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,129
Kwa anayefahamu naomba anijuze, kwani nategemea kufungua biashara huko mkoani siku chache zijazo. Ikiwa unahusika na hiyo biashara nitafute kwa 0719193149
 
Kama Empty DV,CD za jumla nenda pale kongo kariakoo Sunrise,au pale polis Msimbazi opposite kama unaelekea shimoni sokoni kuna duka linaitwa city Computer! Hayo ndo maduka yenye bei nzuri
 
Kama Empty DV,CD za jumla nenda pale kongo kariakoo Sunrise,au pale polis Msimbazi opposite kama unaelekea shimoni sokoni kuna duka linaitwa city Computer! Hayo ndo maduka yenye bei nzuri
Asante mkuu, nahitaji pia hzo empty. Lakini uhitaji mkubwa ni cd/dvd za picha, kuhusu cd nahitaji za kibongo.
 
Kwa anayefahamu naomba anijuze, kwani nategemea kufungua biashara huko mkoani siku chache zijazo. Ikiwa unahusika na hiyo biashara nitafute kwa 0719193149

1:Mkuu, Je unata CD/DVD HAZIJAWA RECORDED AU UANATAKA AMBAZO ZIKO RECORDED?.
PAMOJA NA HAYO NITAKUJIBU KWA PAMOJA KM IFUATAVYO;

DVD-R/DVD+R EMPT (PRINTABLE & NON PRINTABLE) BEI YAKE NI TSH 290@ PC, HII NI BEI YA JUMLA.
CD-R EMPT (PRINTABLE & NON PRINTABLE) BEI YAKE NI TSH 200@PC, HIINI BEI YA JUMLA

KWA MAELEZO ZAIDI PIGA 0762490080
KARIBU
 
Wasiliana na jamaa yangu yuko kariakoo anaitwa Macheye anauza bidhaa hizo kwa jumla simu yake 0762490080
 
1:Mkuu, Je unata CD/DVD HAZIJAWA RECORDED AU UANATAKA AMBAZO ZIKO RECORDED?.PAMOJA NA HAYO NITAKUJIBU KWA PAMOJA KM IFUATAVYO; DVD-R/DVD+R EMPT (PRINTABLE & NON PRINTABLE) BEI YAKE NI TSH 290@ PC, HII NI BEI YA JUMLA.CD-R EMPT (PRINTABLE & NON PRINTABLE) BEI YAKE NI TSH 200@PC, HIINI BEI YA JUMLAKWA MAELEZO ZAIDI PIGA 0762490080KARIBU
nahitaji recorded
 
Back
Top Bottom