Msaada: Wapi wanauza misalaba ya ukutani?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970

Nahitaji kimsalaba cha chuma kama hiko katikati hapo kwenye picha. Kwa hapa Dar, duka linalouza vifaa vya aina hii linapatikana wapi? Msaada please
 
Kuna mtu humu JF alikuwa anauza hivyo vitu nimemsahau jina
 
Mikocheni Kuna Duka Linauza Vifaa Vya Madhabahuni
Sina Hakika Nadhani Soma Biblia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…