Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeniwahi kwa nini? Kuna mahali nishauri,ukiwa yuniki kwa kitu fulani,basi ununue walau viwili,vitatu hivi😂Tulishaongea mambo za gari "yuniki" ila agiza online, braza dunia kijiji[emoji6]
Nenda Ilala oposit na machinga complex mtaa Lindi na Newala kipande uliza wanapouza spare used za mitsubish kuna mpemba hapo anashusha used za dubai hutoikosa na ukikosa atakusaidia kutafuta kwa wauzaji wenzie hapo Lindi na alharamain hamna spea ya kijapan utaikosa labda ushindwane bei broFuel Injection Pump For Mitsubishi
Pajero 4M40-Te Me202411/104701-
Aende hapo ila kuna zingine watazifanyia modification manually. Hizo mitsubishi sio kabisaNenda ilala oposit na machinga complex mtaa lind na newara kipande uliza wanapouza spare used za mitsubish kuna mpemba apo anashusha used za dubai utoikosa na ukikosa atakusaidia kutafta kwa wauzaj wenzie hpo lind na alharamain amna spea ya kijapan utaikosa labd ushindwane bei bro
Fuel Injection Pump For Mitsubishi
Pajero 4M40-Te Me202411/104701-
Fuel Injection Pump For Mitsubishi
Pajero 4M40-Te Me202411/104701-
Tafuta ali express chap tu siku 23 unakuwa uneikamata mpyaFuel Injection Pump For Mitsubishi
Pajero 4M40-Te Me202411/104701-
Umeongea point kubwa sana, ni muda sahihi wa kuanza kuhama waoni wakina jerry wana publis sana online!!! WabadilikeAmna spea ya gar ukaikosa dar sema mfumo wa wauzaj weng ni wa kzaman awapublish online biashara zao na wanaopost hawaspecfy vzur mie nmeuza spea 5yrs najua nmeach km 2yrs tu na izo kunjunga wapo wanaonjunga na ukienda dukan kwake unajua tu znakua na udongo au rang ya wekundu udongo na vumbi ya tz hasa chuma used ya dubai ni saf chuma kinawaka km kioo ya tz ht uoshe na petrol stil aing'ai km used ya dubai kule wana import used car from japan afu wanachinja so unakut spea mpya
Mkuu nina swali nje ya mada, rav 4 massawe milango mitatu yenye 3s kutembea 8km/l ni sahihi?Tukisemaga gari ni Toyota tu nchini Tzed huwa mnatuonaga mafala sana. Haya komaa utafute hio kitu, mie Tandale tu nakamata chochote nachotaka. Sina haja hata ya kufika Ilala.
Kuna baadhi ya spea ukiagiza nje gharama ni kama unanunua gari jinginehata kama utakosa kabisa unaweza kuagiza online na unapata baada ya wiki 3 Hadi 4
Ni sahihi sababu engine ikiwa Okms inatembea 9km/lMkuu nina swali nje ya mada, rav 4 massawe milango mitatu yenye 3s kutembea 8km/l ni sahihi?
Dah!! ShukraniNi sahihi sababu engine ikiwa Okms inatembea 9km/l