Msaada wataalam wa ict nna account ya biashara fb nimeweka niwe nnapata followers lakini bado zinakuja friend requests na imeshafika mwisho

Msaada wataalam wa ict nna account ya biashara fb nimeweka niwe nnapata followers lakini bado zinakuja friend requests na imeshafika mwisho

Ustadh tongwe

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2020
Posts
717
Reaction score
1,903
Habari zenu wataalam km mlivyosoma heading maisha magumu tumejiajili online naomba msaada account ya fb iwe na followers tu iache friend requests maana nimebadilisha kuwa followers lakini maombi ya friends nimengi na nikiwakubali inakataa ishazidi 7000 nifanyaje iwe na option Moja TU ya followers.
 
Back
Top Bottom