I think it means your face is so ugly mpaka it seems like u experiencing pains, and when i look at you na- imagine unaumia kwa jinsi your face is ugly as in na makunyanzi and all.
Maana yake I kwamba sura Yako ni mbaya saaana tu kiasi kwamba anayekuangalia anaukuliza Kama sura Yako inakuuma?na ubaya wasura Yako unamchefua sana anayekutazama!ushauri tu Naona usivae hiyo nguo Kama wewe ni mstaarabu.