Msaada wataalam

Joined
Dec 6, 2018
Posts
21
Reaction score
3
Nimekuwa na tatizo la kusikia vitu vinanichoma choma kwenye vidole vya miguuni na kuisi miguu kuchemka hill tatizo linanifanya nikose hata usingizi naomba mwenye ujuzi anisaidie jamani nateseka mwenzenu
 
Mimi si daktari lakini kulingana na uzoefu, hilo tatizo husababishwa na ukosefu wa vitamin B, ambapo chanzo cha ukosefu huo waweza sababishwa na unywaji wa pombe sana, depression, au magonjwa mengine.
-Kama ni mnywaji wa pombe, kuacha au kupunguza husaidia.
-Tumia dawa za kuongeza vitamin B (Hapa ni vizuri kumuona Daktari)
-Fanya mazoezi kama kukimbia, kuruka kamba n.k
-Shughulikia kama unatatizo linalosababisha depression (mkazo/stress) au muone mtaalam wa hii.

Pia pita hapa kujisomea zaidi https://www.webmd.com/diabetes/burning-feet-causes-treatments
 
Nifolow katika account yangu ujifunze jins ya kujitibu nguvu za kiume au kuboresha mfumo wako wa uzaz bila madhara na kwa matunda tu
@pona_nguvu_zakiume_kwa_matunda
 
Pombe hata ladha yake siijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…